HIZI HAPA SEHEMU ZENYE MSISIMKO MKUBWA KWA MWANAMKE π₯°π₯°
Soma hapaπ
- Shingo-upande hasa wa kulia na kushoto kwake.
- Masikio yote mawili hasa eneo la upande wa ndani,kama vile wakati wa kujisafisha lakini siyo ndani kiasi cha kuleta maumivu.
- Mgongo na kiuno-sehemu ya mgongo ni ile inayokaribia kiuno na kiuno chenyewe kwa ujumla kina mwamsho mkali wa hisia.
- Viganja vya mikono-upande wa mbele na nyuma ya mkono pamoja na vidole vyake,yategemea utaalamu wa mtu kuchezea.
- Matiti-hii ni kwa asilimia kubwa ya wanawake wote wanahisia kubwa sehemu hii hasa ile nyonyo yenyewe na siyo titi zima.
- Mapaja,hasa upande wa ndani (kati ya miguu yake miwili kabla ya kufikia eneo la uke)
- Nyayo za miguu-kati ya kisigino na vidole vya miguu(kwenye hii sehemu iliyo bonyea kidogo)
- Lips za midomo na mashavu yote mawili
- Uke na eneo linalozunguka via hivyo vya uzazi kama vile mashavu ya uke na kisimi (clitoris).
- Kitovu,hii kwa vile hata tu eneo lake limezungukwa na maeneo hatari kwa msisimko kama vile kiuno na inakaribiana na uke ambapo kuna msisimko mkubwa sana.

Maoni
Chapisha Maoni
thank you for visting our blogπ